The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,382
- 2,582
Asante sana.Ametega vibaya/tenge kile ki u-shape . Kiufundi maji ndo yanazuia harufu isirudi. Ukitega vibaya Kuna space itabaki na harufu itakurudia.
Ni maoni yangu tu. Mimi sio fundi.
Mtag Mtaalamu akupatie consultationBaada tu ya kuunganisha bomba kwenda kwenye Septic tank ,choo kilianza kurudisha harufu ndani, ikinyesha mvua ndio kabisa kinazidi . Fundi aliyetengeneza hapatikan
Lakini vyoo vingine vinavyotumia the same septic tank havirudishi ndani
Please, anayejua tatizo ni nini anaisadie.
Hii ni public toilet, ni cha kukaa.Unatumia choo cha kukaa au kuchuchumaa (asian type)?
P/U-trap haijawekwa vizuri
P trap ikiwekwa vizuri, tatizo la choo kurudisha harufu ndani huwezi kukutana nalo. Hapo inawezekana kwenye maungio kati ya p- trap na bomba au p trap yenyewe kuna linkage (kunavuja maji), hivyo inafanya maji yapungue ama kuisha kabisa na kufanya harufu iweze kupita na kurudi chooni. Yale maji unayoyaona yanakaa kwenye p trap ndio yanayozuia njia ya harufu kurudi chooniBaada tu ya kuunganisha bomba kwenda kwenye Septic tank ,choo kilianza kurudisha harufu ndani, ikinyesha mvua ndio kabisa kinazidi . Fundi aliyetengeneza hapatikan
Lakini vyoo vingine vinavyotumia the same septic tank havirudishi ndani
Please, anayejua tatizo ni nini anaisadie.
Asante mkuu.P trap ikiwekwa vizuri, tatizo la choo kurudisha harufu ndani huwezi kukutana nalo. Hapo inawezekana kwenye maungio kati ya p- trap na bomba au p trap yenyewe kuna linkage (kunavuja maji), hivyo inafanya maji yapungue ama kuisha kabisa na kufanya harufu iweze kupita na kurudi chooni. Yale maji unayoyaona yanakaa kwenye p trap ndio yanayozuia njia ya harufu kurudi chooni
Unatusumbua tu ungetafuta fundi mwingine sio kutuhangaisha. Eti fundi hapatikani, kwani una fundi mmoja utadhani mama mzaziBaada tu ya kuunganisha bomba kwenda kwenye Septic tank ,choo kilianza kurudisha harufu ndani, ikinyesha mvua ndio kabisa kinazidi . Fundi aliyetengeneza hapatikan
Lakini vyoo vingine vinavyotumia the same septic tank havirudishi ndani
Please, anayejua tatizo ni nini anaisadie.
Hili ndio jibuAmetega vibaya/tenge kile ki u-shape . Kiufundi maji ndo yanazuia harufu isirudi. Ukitega vibaya Kuna space itabaki na harufu itakurudia.
Ni maoni yangu tu. Mimi sio fundi.
Mkuu hii ni elimu kuna watu hawajui ila leo washajuaUnatusumbua tu ungetafuta fundi mwingine sio kutuhangaisha. Eti fundi hapatikani, kwani una fundi mmoja utadhani mama mzazi
Tunasumbuana tu tutumie akili za kuzaliwaMkuu hii ni elimu kuna watu hawajui ila leo washajua
Chunguza vizuri harufu inatokea kwenye choo au washing basen.Hii ni public toilet, ni cha kukaa.
Watanzania tupende kutumia wataalamu. Kutokutumia wataalamu hakukupunguzii gharama kunakuongezea gharama kama hii unayoipata leo.Baada tu ya kuunganisha bomba kwenda kwenye Septic tank ,choo kilianza kurudisha harufu ndani, ikinyesha mvua ndio kabisa kinazidi . Fundi aliyetengeneza hapatikan
Lakini vyoo vingine vinavyotumia the same septic tank havirudishi ndani
Please, anayejua tatizo ni nini anaisadie.