dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,991
hata hivyo wananchi hawataki hata kumsikiaMajaliwa ndio hakubaliki kabisaa hata huko jimboni kwake amejipitisha bola kupingwa
Fisi akikaribia kukata roho huwa anajipakaa uharo kila mahali
Majaliwa ameanza kucheza rafu.Hapa ni Ukerewe ambapo Kassim Majaliwa amefanya mkutano wa kampeni leo kwa kutumia Chopa.
Mkutano wa Majaliwa umepelekea mkutano wa Lissu kuchezewa figisu ambapo haujafanyika.
Hata hivyo Chopa hii ilikodiwa ili itumiwe na John Magufuli mgombea urais JMT kupitia CCM
View attachment 1581500
Labda CCM tawi la Vingunguti kwenye mnada wa mbuziMa agent wa mabeberu mnatetemeka na kishindo cha CCM.
Mungu na siasa zenu za kipuuzi wapi wapi?Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
Mambo ya kuigaiga haya kuna siku yatawatokea puwaniHapa ni Ukerewe ambapo Kassim Majaliwa amefanya mkutano wa kampeni leo kwa kutumia Chopa.
Mkutano wa Majaliwa umepelekea mkutano wa Lissu kuchezewa figisu ambapo haujafanyika.
Hata hivyo Chopa hii ilikodiwa ili itumiwe na John Magufuli mgombea urais JMT kupitia CCM
View attachment 1581500
Huyo kwa hiyo "Pacemaker" aliyopandikiziwa hashauriwi kutumia hivi vyombo vinavyoruka juu na helikopta ndio kabisaa..Hakuna sehemu ambayo walisema magufuli atatumia chopa
Hapa ni Ukerewe ambapo Kassim Majaliwa amefanya mkutano wa kampeni leo kwa kutumia Chopa.
Mkutano wa Majaliwa umepelekea mkutano wa Lissu kuchezewa figisu ambapo haujafanyika.
Hata hivyo Chopa hii ilikodiwa ili itumiwe na John Magufuli mgombea urais JMT kupitia CCM
View attachment 1581500
Mkuu kwann watetesi wa CCM wengu humu wana majina yenye maana mbaya kwa jamii?