Chris Brown ndani ya penzi la moto moto na Jenifer Lopez moyoni

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu


Yule nigga kutoka state chris brown amedai anamzimikia kinoma noma mwana dada jlo na anapenda awe mpenz wake

Chris kadai huwa mda mwingi anaenda kwa jlo lakin huwa ana ogopa kumwambia YAAN UDOMO ZEGE KAMA WANAUME WA DAR

kadai huwa anamwangalia machon haiish yaan anapenda hata leo awe mke wake

Kuhusu umri wa jlo kuwa mkubwa kwa tofaut ya miaka 20 alidai yeye hilo hajali hata kama angekuwa na miaka na miaka 70 angemuoa tu

Chris kadai ashawah kumwandikia nyimbo za mapenz za kumtaka jlo kimafumbo lakin hakumwambia

JAMAA NI DOMO ZEGE KINOMA


LONDON BABY


CHANZO MISAGO
 
Jlo ni mkubwa mno daah! Toka nianze kumsikia sio leo,,pia bado anaonekana kama ana miaka 25 below
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…