Kwa Tanzania ushuru wa gari jipya (used la miaka ya karibuni) ni mkubwa zaidi kuliko ushuru wa gari la zamani la aina hiyohiyo. Yaani ushuru wa Toyota Mark X ya 2007 ni mdogo kuliko ushuru wa Toyota Mark X ya 2012. CiF walizojiwekea TRA kwenye kalkuleta yao ndio inaleta mahesabu kichaa ya hivyoGari jipya bei ya kununua iko juu lakini ushuru mdogo.
Gari chakavu bei ndogo lakini ushuru unatisha...hii ni kulipia uchakavu
sahihi kabisaKwa Tanzania ushuru wa gari jipya (used la miaka ya karibuni) ni mkubwa zaidi kuliko ushuru wa gari la zamani la aina hiyohiyo. Yaani ushuru wa Toyota Mark X ya 2007 ni mdogo kuliko ushuru wa Toyota Mark X ya 2012. CiF walizojiwekea TRA kwenye kalkuleta yao ndio inaleta mahesabu kichaa ya hivyo
Kwani mie nimesema wapi mkuu?? [emoji38][emoji28]...dah .
Tizama kodi ya toyota ist 2003 december na sasa
😅😅😅 heshima yako mkuu!mikoani ziko chache..huko dar its normal...nareply hapa nikiwa nakombeleza tembele chukuchuku🥰Nareply comment ako hapa nikiwa na ford ranger
[emoji28][emoji28][emoji28] heshima yako mkuu!mikoani ziko chache..huko dar its normal...nareply hapa nikiwa nakombeleza tembele chukuchuku[emoji3059]
Gari ya 2010 ushuru milioni 55!!! Sector ya usafirishaji bado ina safari ndefu sana Tanzania maana hiyo pesa hata south Afrika una nunua Mercedes Benz sprinter na change inabaki ya kuweza kununua Toyota quantum iliyochoka.
Yeereeeeeh!
Chris Lukosi Mfanyabiashara Mtanzania maarufu Uingereza ametoa ushauri mzuri kwa TRA na kusikitika jinsi wanavyokosa mapato mengi kupitia bandarini.
Anasema alitoka bandarini huko Uingereza akahesabu magari 250 kwenye meli yaliyokuwa yanaletwa bandari ya Dar na Mombasa.
Kati ya hayo magari 250 zaidi ya magari 180 pamoja na malori yalikuwa yanaenda Kenya, magari 10 Uganda na magari 22 Tanzania.
Cha kushangaza magari yote yanayoenda kenya ni kuanzia mwaka wa 2014 kuja juu halafu makali kichizi lakini yaliyoagizwa na wabongo ni ya miaka 2004 huko ya kawaida.
Chris anasikitika sana si eti wabongo hawana nia na uwezo wa kutuma bali ushuru ni mkubwa mno.
Kwa mfano yeye alikuwa anauza ford ranger ya 2017 milion saba tu watu walishindwa kukununua kwasababu ushuru wake kuitoa Dar port milion 22 mara tatu.
Aliendelea kushauri iwapo TRA wangeshusha ushuru watu wengi wangeagiza magari mengi sana na TRA kupata ushuru, masheli yangepata mapato mengi, magereji yangenufaika, ma car wash n. K.
Ushauri wa jamaa mzuri sana na nimeukubali.
Ila nimecheka kwenye koments jamaa mmoja kamuuliza mbona haya ukuyasema mwendazake alipokuwa hai?
Wangari Maathai RRONDO
Mimi niko Copenhagen DenmarkBwana mdogo nipo hapa Helsinki,unapiga boksi wapi?
Mkuu sisi tunatakiwa kuishi kama mashetani, magari mazuri ni kwa ajili ya kina Bashite, Slowslow na yule KMK mstaafu ambaye sasa ni mbunge kiti maalumu.wangeshusha ushuru wenye Ford ranger wangekuwa zaidi ya 500 na ushuru wangepokea zaidi na zaidi. Pia hapo hapo wauza spear wangeongezeka,
Tiper usiguse ushuru wake ni balaaBongo asilimia kubwa tunaendesha uchakavu wa kufa mtu bara zipo ila hazina magari watu wanaona kuna magari hapo...magari ya 2018 mengine kodi yanasoma 50m mengine 70m sijui wanafikiri nini watu hatuna magari ya safari mpaka lishikwe shikwe ndio utafute mkoa mwingine...punguzeni Kodi za magari sio chombo cha starehe kinachochea kukua kwa Uchumi mpaka gari za kubeba mchanga nazo Kodi zake zipo juu aisee..
Vipo vibenzi huku vya zamani vi tipper ushuru unaenda therathini huko wakati hapa unaweza kupata bei ya kutupa tuu tunabaki kugharamia mchanga kwa bei kubwa kisa tumejibana kwenye ushuru wa ajabu ajabu...Tiper usiguse ushuru wake ni balaa
Kabla ya hapo ushuru ulikuwa kiasi gani?Dah uuze ford 7m ushuru uwe mara 3 .ila Mungu tuzidi kumshukuru kutuondolea majanga yale jamani! Hapa mjini nawaona wenye ranger hawazudi 5