Mpira haupo hvyo hawa wachezaji wanapitia changamoto sana kwenye hizi team za simba na yanga sarpong nasikia huko anatupia tu watu wanapigana misumari.Mugalu sitamani tena kumfatilia huyu mtu,akikosa magoli hata matatu yeye ni wa kucheka tu na kutafuna jojo.
Nasikia pale Simba, Boko ndo anahusika kuwapiga wenzie misumari na amebakishwa pale.Mpira haupo hvyo hawa wachezaji wanapitia changamoto sana kwenye hizi team za simba na yanga sarpong nasikia huko anatupia tu watu wanapigana misumari.
Afadhali wamemuacha aende aendako.Mpira haupo hvyo hawa wachezaji wanapitia changamoto sana kwenye hizi team za simba na yanga sarpong nasikia huko anatupia tu watu wanapigana misumari.
Ndio mganga wetu mchezaji, ukimuondoa pale tumekwisha!Nasikia pale Simba, Boko ndo anahusika kuwapiga wenzie misumari na amebakishwa pale.
Na pale yanga balama mapinduzi aliingia kichwa kichwa aliambulia kucheza mechi 5 tu kuna watu wanajua kupiga misumari kweli kweli .Nasikia pale Simba, Boko ndo anahusika kuwapiga wenzie misumari na amebakishwa pale.
Kiufupi ukicheza hizi team kubwa ujipange kweli kweli ndo maana ufunguo umekataa kukaa hostel za avic town kashtuliwa mapema maana mbwembwe zote zingeisha.Nasikia pale Simba, Boko ndo anahusika kuwapiga wenzie misumari na amebakishwa pale.
Binadamu wanatofautiana namna yakusikitika.sio lazima tuwe na namna moja ya kusikitika.Inawezekana alikua anasikitika kuliko wale wanaofanya mbwembwe.Mugalu alikua vizuri yaliyotokea ni mambo ya mpira tu ndo maana bado anaweza akapata timu na akafanya vizuri.Mugalu sitamani tena kumfatilia huyu mtu,akikosa magoli hata matatu yeye ni wa kucheka tu na kutafuna jojo.