Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,199
NIshakugongea shemu,ila tu leo umeniacha hoi! my hanei ananipenda mpaka basi.Hapo ile picha yangu nimekaa kwenye sofa miguu juu hujaiweka.
Muige mfano wake basi,wasaidieni wapenzi wenu!
Halafu umependeza Xpin na hiyo tai,kweli najua kuchagua ,you are very smart and handsome!
Nitapataje mwanamke wakunifanya hivyo na mimi? nitafurahi sana.
umenifurahisha sana Xpini, nguli thought u would deny this....kwa nini? uko juu ile mbaya, mwanaume wa aina yake.
ZD umefanya kazi nzuri jamaa mpaka anakubali kulinywa limbwata mwenyewe!! nahisi hata ukisahau kumchanganyia huwa anakumbuka!!!
umenifurahisha sana Xpini, nguli thought u would deny this....kwa nini? uko juu ile mbaya, mwanaume wa aina yake.
ZD umefanya kazi nzuri jamaa mpaka anakubali kulinywa limbwata mwenyewe!! nahisi hata ukisahau kumchanganyia huwa anakumbuka!!!
Shosti hongera sana kwa kupata mume mjasiri na mwenye kuipenda familia yake, Nguli tuletee hiyo in red basi tuone mama ZD alivyorilaksi.
Na wewe kama huna mtu mimi niko idle nina urefu wa ft 3.5 nina kilo 89 nina elimu ya secondary ninakipato kizuri kama unataka picha sema nitaweka hapa sasa hivi n will tell the WHOLE FORUM MY LOVE 4U....nimeweka english ili unikubali .....
umenifurahisha sana Xpini, nguli thought u would deny this....kwa nini? uko juu ile mbaya, mwanaume wa aina yake.
ZD umefanya kazi nzuri jamaa mpaka anakubali kulinywa limbwata mwenyewe!! nahisi hata ukisahau kumchanganyia huwa anakumbuka!!![/QUOTE]
She wote njooni niwape kitchen party! limbwata sio lazima iwe mizizi,
mgoja niwape baadhi ya siri.
1.Nampa malavidavi ya nguvu(yani namwonyesha upendo wa hali ya juu)
2.Namheshimu na kumtii kama kichwa cha nyumba(sio kwa vile ananisaidia ndiyo nianza dharau)
3.Nampigia maombi ya nguvu(....Mungu ameumba jambo jipya,mwanamke atamlinda mwanaume....).
4.
5.
6.
nk.Mje kwenye semina ya ndoa nitaandaa.
Heheheee,asante shosti,nashukuru,yani huyu katoka kwa bwana!Shosti hongera sana kwa kupata mume mjasiri na mwenye kuipenda familia yake, Nguli tuletee hiyo in red basi tuone mama ZD alivyorilaksi.
In red hii hapa, halafu watu wa moshi wanapenda vitu vyenye nguvu sio vimisi vinavypeperushwa na upepo haviwezi kuendesha stout
umenifurahisha sana Xpini, nguli thought u would deny this....kwa nini? uko juu ile mbaya, mwanaume wa aina yake.
ZD umefanya kazi nzuri jamaa mpaka anakubali kulinywa limbwata mwenyewe!! nahisi hata ukisahau kumchanganyia huwa anakumbuka!!![/QUOTE]
She wote njooni niwape kitchen party! limbwata sio lazima iwe mizizi,
mgoja niwape baadhi ya siri.
1.Nampa malavidavi ya nguvu(yani namwonyesha upendo wa hali ya juu)
2.Namheshimu na kumtii kama kichwa cha nyumba(sio kwa vile ananisaidia ndiyo nianza dharau)
3.Nampigia maombi ya nguvu(....Mungu ameumba jambo jipya,mwanamke atamlinda mwanaume....).
4.
5.
6.
nk.Mje kwenye semina ya ndoa nitaandaa.
Umeona picha yako lakini?
https://www.jamiiforums.com/attachm...a-jf-every-woman-s-dream-hubby-no-comment.bmp
Na wewe kama huna mtu mimi niko idle nina urefu wa ft 3.5 nina kilo 89 nina elimu ya secondary ninakipato kizuri kama unataka picha sema nitaweka hapa sasa hivi n will tell the WHOLE FORUM MY LOVE 4U....nimeweka english ili unikubali .....
umenifurahisha sana Xpini, nguli thought u would deny this....kwa nini? uko juu ile mbaya, mwanaume wa aina yake.
ZD umefanya kazi nzuri jamaa mpaka anakubali kulinywa limbwata mwenyewe!! nahisi hata ukisahau kumchanganyia huwa anakumbuka!!![/QUOTE]
She wote njooni niwape kitchen party! limbwata sio lazima iwe mizizi,
mgoja niwape baadhi ya siri.
1.Nampa malavidavi ya nguvu(yani namwonyesha upendo wa hali ya juu)
2.Namheshimu na kumtii kama kichwa cha nyumba(sio kwa vile ananisaidia ndiyo nianza dharau)
3.Nampigia maombi ya nguvu(....Mungu ameumba jambo jipya,mwanamke atamlinda mwanaume....).
4.
5.
6.
nk.Mje kwenye semina ya ndoa nitaandaa.
Naiihitaji hii maana mi ni pigheaded ile mbaya....fee je au dizaini ka zile za kanisani hatulipi?!!
In red hii hapa, halafu watu wa moshi wanapenda vitu vyenye nguvu sio vimisi vinavypeperushwa na upepo haviwezi kuendesha stout
You can say it again. bht unakunywa nini? Mhudumuuuuuuu leta ndovu nne baridi hapa kwa bht! Infakti akisahau nalichanganya mwenyewe na kuligida kwa raha zangu!
subiri kwanza kuna application nyingine naikosinder hapa naona inafikia vigezo, ....wewe naona badohuo urefu wa futi 3 nukta 5 na uzito huo haviendani...ila nikibounce kabisa i might consider u...teh teh
Naiihitaji hii maana mi ni pigheaded ile mbaya....fee je au dizaini ka zile za kanisani hatulipi?!!
Ni dizaini za kanisani,hakuna kiingilio ila unaandaa sadaka yako tu.Karibu sana usiwe na wasiwasi!
subiri kwanza kuna application nyingine naikosinder hapa naona inafikia vigezo, ....wewe naona badohuo urefu wa futi 3 nukta 5 na uzito huo haviendani...ila nikibounce kabisa i might consider u...teh teh
Ni dizaini za kanisani,hakuna kiingilio ila unaandaa sadaka yako tu.Karibu sana usiwe na wasiwasi!
mh kwa vile naihitaki hiyo semina ntakuja shosti, na pia najua sadaka ni lazima ila kiwango ni hiyari au sio? practically hamna cha bure
Please do consider him. Ni handsome hardworking man. Akikupeleka kwenye ile gym yake mwenyewe utapenda!