jamani jamani namzimikia kwa mavokabulary mie loh!!! naanza kumkonsider nguli siriazily ili niwe karibu na bluu rei angalau as my in-law tu basi...au Xpin unashaurije?
naona mkakati wako ni kuwaua wapwa woote!
Du ina maana mpwa Bushoke?
Unasemaje? Naona wikiendi yangu inaanza kutibuliwa taratiiiibu,ngoja niondoke zangu mie.Nakushauri uwatumikie wapwa kwa zamu zamu.
bado negotiations tu hamna hata kitu implemented hapa
Unasemaje? Naona wikiendi yangu inaanza kutibuliwa taratiiiibu,ngoja niondoke zangu mie.
Mie nakuonya lakini ,blurei hamuamini Mungu.Ukiwa in-law kwenye huo ukoo jiandae kufunga siku 40 na kuomba.
we nawe negosiesheni hizo zimechukua muda mrefu anzeni kuimplimenti tunataka kuleta nepi mwakani.
Unasemaje? Naona wikiendi yangu inaanza kutibuliwa taratiiiibu,ngoja niondoke zangu mie.
Na wewe kama huna mtu mimi niko idle nina urefu wa ft 3.5 nina kilo 89 nina elimu ya secondary ninakipato kizuri kama unataka picha sema nitaweka hapa sasa hivi n will tell the WHOLE FORUM MY LOVE 4U....nimeweka english ili unikubali .....
Usijali mchumba. We si umeona bht kanichokoza na wapwa zangu? Au nisaidie basi kumjibu inavotakiwa.
shemeji X-Pin na leo una zamu ya kupika ?
shemeji X-Pin na leo una zamu ya kupika ?
Thanks, am back~! shemeji9 yenu alikuwa na hasira na kusema lazima anipeleke maternity haraka iwezekanavyo ili nisimuweke roho juu lol!ur back? thanks be to God we missed u a lot, walisema eti shemeji kakufungia ndani tulikusifia sana after ile get together.
Thanks, am back~! shemeji9 yenu alikuwa na hasira na kusema lazima anipeleke maternity haraka iwezekanavyo ili nisimuweke roho juu lol!
Hey! asante mwaya.Umerudi lini? tulikumiss kweli.Habari za vekesheni?Du! kweli i missed things around here. HONGERA ZD for an ideal hubby.