Karibu sana naona umefika penyewe jiandae mama kuna get tugedha ya Mikumi jipange vp vekesheni lakini ilikuwa bomba?
Hi ZD, nimedudi wkend mamy, vaxcation ilikuwa fine an am back full fledged!Hey! asante mwaya.Umerudi lini? tulikumiss kweli.Habari za vekesheni?
Na nimebadili tena ma'msapu are u okey wt this baby?
hahaaaaaaaaaaaaa!! am fine! I kile it
ulitakiwa kuwa proactive kaizer, unamshauri saaa hii na amechelewaje?
Kigugumizi Kaizer, c unaona mwenyewe mpaka ni sepa kwa muda, maana I donti bilivi mi macho.
saa nyinginenkuwa reactive kunasaidia🙄
Thats so good of u! pitia thread ya FIESTA kwenye pg ya 2 nimweka picha yetu wawili.
we unawadanganya JF eti ulikua na mimi??? tena uombe radhi, mi sinilienda kwenye maombi wewe!!!! ZD tulikua wote kule...
wewe umemfumania untaka akuombe radhi?muache haraka kuna wanaume kibao ambao hatu chiti.
Bht mie nilishakuambia,huu ukoo wa kiblurei na Maombi/Mungu mbalimbali.Sio kama nagombanisha ,lakin ndio hivo.we unawadanganya JF eti ulikua na mimi??? tena uombe radhi, mi sinilienda kwenye maombi wewe!!!! ZD tulikua wote kule...
aombe radhi kwa kuwadanganya JF eti na mi nikuwemo kwenye kulabuka chakari namna hiyo...
hayo mengine ntachukua hatua kali zaidi..we subiri utaona
Quote:Ndio ni kaka YANGU!
Bht mie nilishakuambia,huu ukoo wa kiblurei na Maombi/Mungu mbalimbali.Sio kama nagombanisha ,lakin ndio hivo.
Mpwa we noma.
Na wewe niombe radhi kama mimi nilivyomtaka radhi BHT tafadhali nitoe kwenye ukoo usiomwamini Mungu.
Huo ndio moyo wa kike..sasa kwa kuanzia nijibu swali langu kwenye PM.