rama bendu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 310
- 220
Mahitaji ya nyakati pia yamechangia
Tanzania kuna watu watatu katika bongo flava ambao naweza waita Kings kwa vigezo kabisa!!
Moja Joseph mbilinyi aka Sugu huyu alikomaa Sana na mziki enzi unaanza!!
mbili JosephHaule aka Prof Jay.. aliugeuza mziki kila mtu akaupenda
Tatu Nasib Abdul Juma aka Diamond platnumz huyu ameufanya biashara na kuupeleka mziki kimataifa na kuugeuza Kua pesa na ajira!! Wengine ni wasanii tu!!!