Niliexpect wimbo mzuri sana kutoka kwa hawa jamaa wawili nnaowaamini lakini sivyo, nnao kwenye pc najitahidi kuucheza mara kwa mara ili uingie kichwani niupende but bado sijafanikiwa
tatizo c.bella nae habadilishi kidogo style uimbaji wake!yani hakuna tofauti ya kupanda na kushuka kwa sauti kati ya wimbo mmoja na mwengne anachofanya ni kukazia sauti tu kwenye beats...hii inachosha kwa kweli japo he has got a nice vocal