Thats gud,work hard mkuu,pesa ni muhimu kwa maisha mazuri
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Asije kujuta kama Zitto kuwa Mtanzania. .. ajiunge na com apewe ubalozi
Siku hz anaimba bongo fleva.. Dans ameitupa.. Kwa wapenz wa dans kwel wanaelewa.. Na anaboa.. Ila kwa masauti hana mpinzan.. Labda kidoogo 33 wa fm au Raja ladha wa iliyokuwa mashujaa ndio wanaweza kumfikia kibongo bongo..Jamaa namkubari hanaga makuu tofauti na wainba dansi wenzake yeyee ameendelea kuwepo
Yah siku hizi kahama.Siku hz anaimba bongo fleva.. Dans ameitupa.. Kwa wapenz wa dans kwel wanaelewa.. Na anaboa.. Ila kwa masauti hana mpinzan.. Labda kidoogo 33 wa fm au Raja ladha wa iliyokuwa mashujaa ndio wanaweza kumfikia kibongo bongo..
The king of vocalist Melody Christian Bella Obama.
amesema yuko mbioni kuachana na uraia wa nchi yake Kongo DRS ya Zamani na kuwa raia wa Tanzania.
SureJamaa namkubari hanaga makuu tofauti na wainba dansi wenzake yeyee ameendelea kuwepo
1. Yako wapi mapenzi.huyu jamaa namkubali sana toka kipindi kile cha YAKO WAPI MAPENZI.
noma sana huo wimbohuyu jamaa namkubali sana toka kipindi kile cha YAKO WAPI MAPENZI.