Si ukaimbe wewe
Atajutia nini tena huko mkuu???mbona unampa ushaur huku unamtisha???
Habari yako:
Naamini utakuwepo jf au kama siyo marafiki zako wapo humu please fikisha ujumbe huu kwake..
Kwa upande wangu CB ni mwimbaji mwenye sauti nzuri sana lakini pia tune zake nimetokea kuzikubali sana...
USHAURI wangu HEBU OKOKA; UMPOKEE YESU KUWA BWANA WA MWOKOZI WAKO...Then umwimbie Mungu. UTAJUTIA HUKU.
KARIBU HUKU...