Akijibu hoja ya ukomo bungeni, Christian Bwaya ameandika:
"Wabunge wengi wana mipango ya muda mrefu kaka. Tuwaelewe.Miaka mitano ya mwanzo —kulipa madeni makubwa ya uchaguzi. Miaka mitano ya pili —kufanya uwekezaji mkubwa ili kuwa na nguvu ya kichumi.
Kuingia rasmi kwenye tabaka tukufu.Miaka mitano ya tatu —kutengeneza mtandao wa kudumu ikiwezekana ndoto kubwa zaidi za kisiasa zitimie.Miaka mitano ya nne —kujipanga namna ya kuwaelimisha wapiga kura kuwa jukumu la kujiletea maendeleo ni lao wenyewe.
Miaka mitano ya tano —kusisitiza falsafa ya kujitegemea ili wananchi waone haja ya kujiletea maendeleo yao wenyewe"
"
"Wabunge wengi wana mipango ya muda mrefu kaka. Tuwaelewe.Miaka mitano ya mwanzo —kulipa madeni makubwa ya uchaguzi. Miaka mitano ya pili —kufanya uwekezaji mkubwa ili kuwa na nguvu ya kichumi.
Kuingia rasmi kwenye tabaka tukufu.Miaka mitano ya tatu —kutengeneza mtandao wa kudumu ikiwezekana ndoto kubwa zaidi za kisiasa zitimie.Miaka mitano ya nne —kujipanga namna ya kuwaelimisha wapiga kura kuwa jukumu la kujiletea maendeleo ni lao wenyewe.
Miaka mitano ya tano —kusisitiza falsafa ya kujitegemea ili wananchi waone haja ya kujiletea maendeleo yao wenyewe"