Christiano Ronaldo anabebwa mno na vyombo vya habari

Mbona una maono finyu hivyo. Hujaona madakika yote aliyocheza kuanzaia mechi ya kwanza hadi jana final. Hajakosa ata mechi moja, hajacheza chini ya kiwango, kaivusha ureno kwenye makundi af unakuja unaongea pumba.

Ronaldo ndo mchezaji bora kwa sasa hakuna ubishi juu ya hilo. Uwepo wake tu pale kwenye benchi jana licha ya kucheza dk 24 ni hamasa kwa wachezaji wenzake.
 
Jamaa kazaliwa na bahati ya ajabu
 
ajabu mtoa mada mwenyewe katika post yako umemtaja ronaldo mara nyingi...tena umeshindwa hata kumtaja huyo aliyefunga....hauna tofauti na hivyo vyombo vya habari vinavyomuonyesha ronaldo tu!nami nipo katika same boat...simtaji mfungaji bali namtaja ronaldo tu!!!kifupi...huu mchezo hautaki hasira
 
Ronardo ameibeba saana ureno .tangu mwanzo wa mashindano.Amefanya vizuri saana.huwezi ukamlinganisha na messi ambaye aliikosesha timu yake.na hana historia ya kuibeba timu yake kitaifa.CR7 anasistahili kuwa best player2016
Ureno imepenya kibahati bahati tu. Messi alikosa penalt kama alivyokosa Ronaldo, au umeshasahau kuwa naye alikosa? Bahati ya mtende. Ureno wameokota dodo chini ya mwarubaini
 
Teh Teh wewe nae umerudia yale unayo yaita makosa ya vyombo vya habari maana umeshondwa hata kumtaja mfungaji....!
 
Maoni yenu yote mpunga, CR7 anabebwa sana na media za waingereza mnazokodolea mimacho kila cku kwa vile hawampendi messi. Muwe na personal judgement.
N:B Infact time will tell.
 
Cr7 keshabeba ndoo hivyo bakini chuki/husda zinazoendelea kuwatafuna.
 
Hata ungepinga mpaka asubuhi hilo kombe litambeba sana. Huu ni mwaka wake
 
Ni kweli anabebwa na media ukicheki hata uefa ilikuwa hivyo hivyo mbeleko from media.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…