uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Hali ni mbaya mbaya sana kwa ndugu ronaldo hali iliyopelekea kutia aibu ya mwaka wakati akitambulishwa na klabu yake mpya huko bara asia
Alisikika akisema
"Kuja hapa South Africa sio mwisho wangu wa kucheza mpira".
Hali hii iliwaacha vinywa wazi mashabiki wake waliohudhuria wakati wa utambulisho wake.
Mashabiki walifura mitandaoni kwa matusi wakisema inawezekana vipi mchezaji anayelipwa paund milion 200 kwa mwaka hajui nchi anayoishi?
Ndugu yetu anaonekana mwili wake upo Asia ila akili zimebaki Europe.
Nashauri apunguziwe mshahara kwani hajaonyesha heshima kwa nchi.
Alisikika akisema
"Kuja hapa South Africa sio mwisho wangu wa kucheza mpira".
Hali hii iliwaacha vinywa wazi mashabiki wake waliohudhuria wakati wa utambulisho wake.
Mashabiki walifura mitandaoni kwa matusi wakisema inawezekana vipi mchezaji anayelipwa paund milion 200 kwa mwaka hajui nchi anayoishi?
Ndugu yetu anaonekana mwili wake upo Asia ila akili zimebaki Europe.
Nashauri apunguziwe mshahara kwani hajaonyesha heshima kwa nchi.