Kukosea ni jambo la kawaida tu. Sijui umefanya tathmini ya wanamitandao wangapi ambao wanashutumu kuhusu jambo hilo lakini kubwa, club imetangaza kuwa na wafuasi wengi sana baada ya kutangaza kumsajili Cristian. Hili ni jambo jema kibiashara. Mengine, ni utashi wa kibinadam tu.