Christina Shusho, colabo na Diamond hapo umeliwa!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Your browser is not able to display this video.


Kimapenzi, kwa mwanamke kuwa karibu na Diamod Platinumz, hapo huyo mwanamke atayeyuka kama siagi ikikatwa na kisu cha moto!

Kwa wanaomfahamu Diamond, hajawahi kumuacha mwanamke salama. Christina Shusho hatakuwa wa kwanza kuingia mtego huo. Kila la heri mwimbaji wa nyimbo za Injili, ambaye sasa ana assingment
 
Kila mwanamke ni chizi au tuseme kila mwanamke ana wazimu wake tofauti yake huyo shusho na wake zetu au mama zetu ni kwamba wao hawapo (hawajapata bado nafasi ya kuuonyesha) au hawakuwahi kutaka kuuonyesha huo uwendawazimu wao.
 
Let her do whatever she feels coz she's the only one justifies her destination life in this planet journey.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
hongera mtumishi wa mungu chistina shusho mungu akubariki na huduma yako😍😍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…