masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Hakuna cha ajabu maana hiyo ndiyo kazi kuu ya mbususu brooChristina Shusho hatakuwa wa kwanza kuingia mtego huo!
Siye tunasubiri mchuano huu mkali kati ya Mwibaji wa nyimbo za Injili Vs Mzee wa One Night Stand!!!Kila mwanamke ni chizi au tuseme ana wazimu wake tofauti yake huyo shusho na wake zetu au mama zetu ni kwamba wao hawapo (hawajapata bado nafasi ya kuuonyesha) au hawakuwahi kutaka kuuonyesha.
Zile ni makeup mjomba, sio mzuri kiviiileeeMbona nywele zimenyonyoka..
Alaf mnamsifia ni mzr huyu? Ama kwel Tz wengi ni walevi wa pombe chafu
Na huu ndio utofauti wenyewe sasaau hawakuwahi kutaka kuuonyesha.
Baaaasi uzi ufungweHakuna cha ajabu maana hiyo ndiyo kazi kuu ya mbususu broo
Alikuaga pisi kali sana shusho sema saiv miliage zimesoma za kutoshaMbona nywele zimenyonyoka..
Alaf mnamsifia ni mzr huyu? Ama kwel Tz wengi ni walevi wa pombe chafu
ephen alishadokeza inshu hii kwenye uzi mmoja humu humu JF, muite akudadavulie vizuri.Giza haliwezi kaa pamoja na nuru. Hao wote ni watu wa dunia.