Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Wakuu baada ya kuuza kiwanja
Wadada wamenidangia pesa zote za kiwanja cha urithi..yaani nimeuza Jana tu
Saivi nimebaki na 600 ...!
Xmas usinifanyie hivyoo jamani ntakula wapi sasa ...?
Lakini hapa nyumbani kwetu mie Pancho lazima ntakula pilau la mama siwazi sana hata kama baba akikasirika eti kisa nihame ...
Na wala sina mpango wa kuhama miaka 44 tu nihame??
Ila Xmas usinifanyie hivyo nina 600 mwenzio
Wadada wamenidangia pesa zote za kiwanja cha urithi..yaani nimeuza Jana tu
Saivi nimebaki na 600 ...!
Xmas usinifanyie hivyoo jamani ntakula wapi sasa ...?
Lakini hapa nyumbani kwetu mie Pancho lazima ntakula pilau la mama siwazi sana hata kama baba akikasirika eti kisa nihame ...
Na wala sina mpango wa kuhama miaka 44 tu nihame??
Ila Xmas usinifanyie hivyo nina 600 mwenzio