kwani shoga ako blandina si alipata mzunguu??
ndoa bass tena?!!!
Huyo Chuchu Hans alikuwa na mbwembwe,inaonekana hatujui vizuri wanaume
shosti alipataga mcanadian na full shobo jumlisha kutambulishwa na ndoa ulaya...Najuaje shoga?nimewahi kusikia anatoka na ustadh Juma Namusoma sijui....hii siijui.
mmh!! bora umeachwa maana ulikuwa unajishaua na huyo ray wako mpaka umeachwa pambafuu..
sio km simpendi johari hamn nampenda sana ila mimi mwanamke yeyote anaevunja uhusiano wa mwenzie ananikwaza
mi simpendi na nishasema kanajishaua sana kale yani
shosti alipataga mcanadian na full shobo jumlisha kutambulishwa na ndoa ulaya...
sa nashangaa kaolewa lucy komba ye yupo yupo tu!
Duuuh mbna kawaida 2 ingekua ndoa sawa wote walikua wanazini 2 kiroho safi ni kupokezana kijiti mana wanaume toka wachache.wavulana ndio wako wengi
Kwahiyo hapo Ray unamuweka kwenye kundi gani?mwanaume au mvulana?
Huyu mvulana c mwanaume hivi wewe nifah toka lini m2 anajichubua ukamwita w mwanaume,huyo ana harufu y kivulana tena kwa mbali.bongo movie wanaume n wanawake huwezi kuwajua bila kutizama kwa umakini
Kumbe wewe humpendi Johari sababu ya Mainda eeh?Leo ndio nimejua.
Johari sitomshangaa akirudiana na La Aziz wake Ray,kuna ajabu gani?Tena wafunge na ndoa kabisa tushangilie.
kwani shoga ako blandina si alipata mzunguu??
ndoa bass tena?!!!
mwenzangu mi nilimsiki uwoya akisema kuwa johar atulie uko wazungu hawataki uswahili , nkajua kashapata zeru zeru sasa mpaka leo naona kimyaa sijui iliishiaga wap au ilikuwa movie
Mshamba tu yule.Anawajua vizuri alijitoa fahamu tu.
shosti alipataga mcanadian na full shobo jumlisha kutambulishwa na ndoa ulaya...
sa nashangaa kaolewa lucy komba ye yupo yupo tu!
gundu analo shoga yako chuchu mume kamuacha na hawara nae kamkimbia, mwambie akaoge
ahahahaa hakyamungu wewe ni kiboko eti alijitoa ufahamu...ndo arudishe sasa hizo fahamu watu washapiga pumbu mbel na nyuma hawamtaki tena, kwanza ata nyama hana yule kimekaukiana kama kina ukimwi vile