1.Angalia maji unayotumia kuoga yaweza kuwa machafu, na si chuchu tu kama tatzo likiendelea utawashwa pia sehemu za siri.
2. Chunguza wakati wa ku~sex na jamaa je .chuchu hutumika? Kwa mfano kama mume hulamba chuchu je mdomo wake unapgwa mswaki? Au huwa mmetoka kula?
3. Je? Chuchu zinawasha kiasi cha kufikia hatua ya kuzifikicha? Na je ile duara nyeusi ina ugumu?
4. Muwasho huo unauhisi kwa ndani au nje ya chuchu?
5. Je? Katika romance unanyonywa/kulambwa matiti na je? Kama ndiyo ,Ni mtu mmoja tu anayefanya hivyo?
6. Je ww ni mjamzito? Au umeachisha mtoto kunyonya kwa kipindi cha karibuni?
Tujuze tujue tatzo...
Jambo la kufanya osha kila siku kwa maji ya vugu vugu na uvae blazia safi kila wakati..