Habari ndugu wana jf. Rafik yangu wa karibu hivi majuz alikuja kuniomba ushauri. Alinieleza kuwa chuchu za matiti ya mpenz wake zmeingia ndan kama kitovu (kwa vitovu vya ndan) na kuacha kiduara cheusi kizungukacho chuchu wakt kilima hicho (kichuchu) kikiwa hakpo (ktk kla titi) . Alicho niuliza ni je hali hyo inasababishwa na nn? Je kuna mechanism yoyote ya kuzfanya chuchu ztokee kwa nje maana hali hyo inaweza kumsumbua mtoto wakat wa kunyonya pind atapo jifungua. Kiukweli nilishndwa kumshauri coz its non of my profession, zaid nilimwambia nipe mda. Hebu naomben tumshaur ndugu.
Habari ndugu wana jf. Rafik yangu wa karibu hivi majuz alikuja kuniomba ushauri. Alinieleza kuwa chuchu za matiti ya mpenz wake zmeingia ndan kama kitovu (kwa vitovu vya ndan) na kuacha kiduara cheusi kizungukacho chuchu wakt kilima hicho (kichuchu) kikiwa hakpo (ktk kla titi) . Alicho niuliza ni je hali hyo inasababishwa na nn? Je kuna mechanism yoyote ya kuzfanya chuchu ztokee kwa nje maana hali hyo inaweza kumsumbua mtoto wakat wa kunyonya pind atapo jifungua. Kiukweli nilishndwa kumshauri coz its non of my profession, zaid nilimwambia nipe mda. Hebu naomben tumshaur ndugu.
mi nilishagawahi kupata demu wa hivyo aisee. Ila sema yeye ni chuchu ya moja ya ziwa lake. Sasa mzee mzima nikamtoa sidiria ili nianze kuzinyonya bana. Nikaanzia lile lenye chuchu iliyoingia ndani. Akanizaba kibao akaniambia hebu niache kunyonya hapo kwani hakuna chuchu. Akanipa lile lenye chuchu. Daaah nilijiona mjinga kweli.
Mi nilishagawahi kupata demu wa hivyo aisee. Ila sema yeye ni chuchu ya moja ya ziwa lake. Sasa mzee mzima nikamtoa sidiria ili nianze kuzinyonya bana. Nikaanzia lile lenye chuchu iliyoingia ndani. Akanizaba kibao akaniambia hebu niache kunyonya hapo kwani hakuna chuchu. Akanipa lile lenye chuchu. Daaah nilijiona mjinga kweli.