Chuchu zinauma sana, nifanyaje?

Gloryb

Member
Joined
Nov 16, 2013
Posts
21
Reaction score
12
Naomba mnisaidie nifanye nini ili chuchu zisiume.
nina mtoto mchanga wa wiki moja nilijifungua kwa operation, sasa nilipojifungua maziwa yalikuwa sio mengi, mwanangu akawa ananyonya hivyo hivyo hali hii imepelekea chuchu kuuma. yaani zinauma sana hadi huwa nawaza sana ninapotaka kumnyonyesha.
Naombeni mnijuze nitumie nin chuchu zangu zipone?
 

Kanda maziwa na maji ya uvuguuvugu.inaonyesha njia mirija haijafunguka vyema.mnyonyeshe mtoto mara kwa mara ili mirija ifunguke na tatizo kwisha.
 
Tafuta avent nipple cream kama umepata michubuko inapona upesi siku mbili ikizidi sana. cha muhimu kula balanced diet maziwa yapatikane ya kutosha mtoto asivute chuchu. pole sana lakini bst
 
Last edited by a moderator:

Pole sana, ila nikawaida hata dada yangu ilikumta kama hivo.. chukua biringanya chemsha unywe maji yake yakiwa bado yamoto, maziwa yatatoka vizuri na usiogope kumnyonyesha mtoto kila unapomnyonyesha ndo unapopata nafuu.
 
Kila unapompa mtoto anyonye ndo nafuu yako. Weka ktk kikombe subiri ipate vuguvugu. kwakua umesema umezaa kwa kisu ngoja ipate vuguvugu unywe itatoa maziwa mengi.. pole
 
ungesema hujajifungua hii thread sasa hivi ingekuwa page ya 12
 
Angel Nylon njoo umshauri mzazi.

Jm ulokuepo king kong hata mi yalinipata hayo hayo.

Dawa dadaangu ni kustahamil tu coz ukisema upakae kitu chochote means na mtt atakila wakati wa kunyonya. Hata mi nlikua nawaza kumnyonyesha, lkn nlikua nampa ivoivo mpk maumivu yameondoka yenyewe
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ni hali ya kawaida unatakiwa kuendelea kinyonyesha zitapoa.wengine wanatoka mpaka vidonda na vinapona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…