Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Kwa hiyo huyo Chui tangu akiwa na umri wa siku ishirini alikua anaishi akinyonya kwa kujificha? Yaani alidhani ng'ombe ni mama yake, halafu akawa ananyonya na kuondoka na akaendelea kuja kuonana naye kwa kujificha hadi ukubwani?
Chui huja kila usiku kukutana na ng'ombe na ng'ombe huramba kichwa chake.
Mwanaume huyo alizungumza na mmiliki wa awali wa ng’ombe huyo na kugundua kuwa mama chui alifariki akiwa na umri wa siku ishirini tu na tangu wakati huo ng’ombe alimlisha chui huyo kwa maziwa yake. Kwa hivyo, chui anafikiri kwamba ng'ombe ni mama yake na huja kila usiku kumwona.
Piga kura ikiwa umeipenda.
Asante kwa kusoma!
🤣🤣🤣🤣watu ni wabaya sana😅Ngoja chui alishwe sumu na wenzake kwa kuambiwa ukweli, atakuja mtafuna siku moja.
Yeah,tayari alijazwa sumu ya uoga au kuogopa binadamu tangu Akiwa tumboni mwa mama yakeKwa hiyo huyo Chui tangu akiwa na umri wa siku ishirini alikua anaishi akinyonya kwa kujificha? Yaani alidhani ng'ombe ni mama yake, halafu akawa ananyonya na kuondoka na akaendelea kuja kuonana naye kwa kujificha hadi ukubwani?
bado hujapata jibu mpaka sasa?? nitakuwa napitapita basi kuangalia kama umepata jibu tayariKwa hiyo huyo Chui tangu akiwa na umri wa siku ishirini alikua anaishi akinyonya kwa kujificha? Yaani alidhani ng'ombe ni mama yake, halafu akawa ananyonya na kuondoka na akaendelea kuja kuonana naye kwa kujificha hadi ukubwani?
Acha kabisa mdogo wangu.🤣🤣🤣🤣watu ni wabaya sana😅
🤣🤣Acha kabisa mdogo wangu.
Watu ni sumu kali sana
Umetisha😃Ngoja chui alishwe sumu na wenzake kwa kuambiwa ukweli, atakuja mtafuna siku moja.
Yako ni mabaya zaidi mkuu 😂Chui huyo ni wa kiume? Nauliza tu jamani sina mawazo mabaya kama uliyo nayo wewe msoma comment
Naendelea kusubiri.bado hujapata jibu mpaka sasa?? nitakuwa napitapita basi kuangalia kama umepata jibu tayari