mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 566
Alikuwepoo ila alikuwa kama ameduwaa tu...refa alipochemka kumpa card canavaro kosa la kumpiga ndipo alipozua hasira upya za wachezaji na chuji alikuwepo karibu kabisa na refa ila hakufanya chochote itafute ile video utaona