Chuki dhidi ya serikali iliyoko madarakani ndiyo sababu pekee ya maana ya kupinga tozo

Chuki dhidi ya serikali iliyoko madarakani ndiyo sababu pekee ya maana ya kupinga tozo

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Hatua ya serikali kutoza tozo kama njia ya kuongeza mapato yake ili kutoa huduma kwa wananchi ambao wanadai hiki na kile, imepokelewa kwa kiasi kikubwa kwa kukataliwa ikiwemo na wabubge wenyewe waliopitisha sheria hizo.

Wakati upingaji huu unatokoea na kuendelea, wanaopinga wanakubali tozo toka kwa wengine wote isipokuwa serikali.

Mfano watu wa benki wanatutoza hata pale tunapowauliza tuna bakaa kiasi gani kwenye akaunti zetu, wanatutuza tozo tunapotoa hela yetu tuliyowapa waitunze na wanawakopesha watu na kulipwa riba kubwa.

Haya yote tunayakubali ila kwa serikali imekuwa dhambi. Jibu pekee la kupinga tozo ni chuki kwa serikali. KWA HIYO MPINGA TOZO YEYOTE NI MPINGA SERIKALI.
 
Hapana, CCM ndio chama dola na kilishatoa maamuzi kuhusu tozo na kimependekeza tozo zipinguzwe na nyingine kufutwa. Mm nasimama na chama na mwenyekiti wangu. Wewe unasimama wapi?
 
Hapana, CCM ndio chama dola na kilishatoa maamuzi kuhusu tozo na kimependekeza tozo zipinguzwe na nyingine kufutwa. Mm nasimama na chama na mwenyekiti wangu. Wewe unasimama wapi?
Kuwa CCM hakukutoi katika tuhuma ya kupinga tozo
 
Hapana, CCM ndio chama dola na kilishatoa maamuzi kuhusu tozo na kimependekeza tozo zipinguzwe na nyingine kufutwa. Mm nasimama na chama na mwenyekiti wangu. Wewe unasimama wapi?
Mimi nasimama na Ndugai kwamba 2025 tuamue kuchagua haya ma tozo au tuchague kuachana nayo.
 
Kuwa CCM hakukutoi katika tuhuma ya kupinga tozo
Una matatizo ya akili?? Kamati kuu ya chama ambapo mwenyekiti mama Samia walikubakiana kuangalia nq kupunguza tozo, alafu wewe kapuku mmoja unakuja na ujinga gani Tena? Wewe una uchungu kuliko raisi na chama?
 
Una matatizo ya akili?? Kamati kuu ya chama ambapo mwenyekiti mama Samia walikubakiana kuangalia nq kupunguza tozo, alafu wewe kapuku mmoja unakuja na ujinga gani Tena? Wewe una uchungu kuliko raisi na chama?
Mkuu kama mtu anamchukia mama yake mzazi sembuse wanachama kuchukia serikali ya Chama chake. Wakati mwingine uwe unasoma na kuelewa. Mie nimeongelea tozo, serikali na chuki. Chuki ni hulka ya binadamu kwa hiyo binadamu yeyote bila kujali njia, umri au rangi anaweza kuwa na chuki kwa mtu yeyote au kitu chochote
 
Hatua ya serikali kutoza tozo kama njia ya kuongeza mapato yake ili kutoa huduma kwa wananchi ambao wanadai hiki na kile, imepokelewa kwa kiasi kikubwa kwa kukataliwa ikiwemo na wabubge wenyewe waliopitisha sheria hizo.

Wakati upingaji huu unatokoea na kuendelea, wanaopinga wanakubali tozo toka kwa wengine wote isipokuwa serikali.

Mfano watu wa benki wanatutoza hata pale tunapowauliza tuna bakaa kiasi gani kwenye akaunti zetu, wanatutuza tozo tunapotoa hela yetu tuliyowapa waitunze na wanawakopesha watu na kulipwa riba kubwa.

Haya yote tunayakubali ila kwa serikali imekuwa dhambi. Jibu pekee la kupinga tozo ni chuki kwa serikali. KWA HIYO MPINGA TOZO YEYOTE NI MPINGA SERIKALI.
Mifuko ya Watanzania haifanani na haita fanana. Faida za tozo zipo nyingi sana na kila mwananchi anazikubali. Tozo zilitakiwa ziwe ndogo mpaka mwananchi asihisi kama anatozwa- kama ile methali inayosema haba na haba hujaza kibaba.
 
Back
Top Bottom