Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Wakurdi hawapendi ndio maana walishindwa kuanzisha kurdstan baada ya kuanguka kwa USSR wapo wengi na eneo kubwa ila wakikaa pamoja wanashindwa kupatana kutokana na koo kubwa kubwa kupingana humo ndani wapo hadi wakristo wa yazid ambao hutengwaNajaribu kuangalia kwa mrejeo wa kumbukumbu za historia ya dunia.Hii chuki dhidi ya Wayahudi na Wakurdi imekuwepo toka enzi na enzi lakini haijawahi kua na mafanikio chanya.Nikaona niulize ni nini
Katika Quran Allah alisha lisemea kwanini wana chukiwa, nawata endelea kua hivo mpaka Qiama, katika Suratul fatiha kila suku tunamlilia Allah atuepushe kua kama hao wa Yahudi au wanaswara kwasbb wana ghadhwabu ya Allah.Najaribu kuangalia kwa mrejeo wa kumbukumbu za historia ya dunia.Hii chuki dhidi ya Wayahudi na Wakurdi imekuwepo toka enzi na enzi lakini haijawahi kua na mafanikio chanya.Au kuna tofauti ndogo kati ya wivu na chuki au chuki na wivu.Nazungumzia wivu wa kitamaduni au wivu wa kisiasa au wivu wa kidini au wivu wa kimatabaka.Mbona jamii mbili hizi kila zinapokumbana na wivu ndio zinazidi kuimarika
Mdau kumbe sababu za Hitler kuwaua wayahudi ni hiyo tu moja walikua wanaringa???Kwahiyo hapo alipata chuki au wivu????Na vipi kuhusu jamii za waajemi na waarabu na waturuki kuwachukia wakurdi nini kipo nyuma ya pazia????Na vipi kuhusu wayazidi wanachukiwa sababu wanaabudu dini zao za asili au kuna sababu nyingine mkuu??Wakurdi hawapendi ndio maana walishindwa kuanzisha kurdstan baada ya kuanguka kwa USSR wapo wengi na eneo kubwa ila wakikaa pamoja wanashindwa kupatana kutokana na koo kubwa kubwa kupingana humo ndani wapo hadi wakristo wa yazid ambao hutengwa
Israel wao ndio hujitenga baada ya kujiona wako superior sana kuliko wengine wakisema wao ndio walimbwa kwanza na lazima waitawale duni ndio hata Hitla aliamua kuwauwa walijiona so special sana japo wakurdi na waisraeli wanaakili sana
USSR
Kuna vitu ningependa nikuulize kidogo mkuu ila uwe mkweli na muwazi ili na sisi tupate nafasi ya kuelimika kidogoKatika Quran Allah alisha lisemea kwanini wana chukiwa, nawata endelea kua hivo mpaka Qiama, katika Suratul fatiha kila suku tunamlilia Allah atuepushe kua kama hao wa Yahudi au wanaswara kwasbb wana ghadhwabu ya Allah.
Hapa unatuchanganya kidogo ndugu yetu Covax.Ungetufafanulia kwa kina Allah ni nani na anawajibika kwa watu gani hapa duniani ambao amewapa maelekezo ya kuwachukia wayahudi na wakurdi kupitia hiyo Quran.Na pili naona umetumia kidogo maneno ya kiarabu,je kuna uhusiano wowote wa chuki dhidi ya wayahudi na wakurdi na jamii za kiarabu??Katika Quran Allah alisha lisemea kwanini wana chukiwa, nawata endelea kua hivo mpaka Qiama, katika Suratul fatiha kila suku tunamlilia Allah atuepushe kua kama hao wa Yahudi au wanaswara kwasbb wana ghadhwabu ya Allah.
Stereotype mkuu???Stereotype...