Pezzonovante
JF-Expert Member
- May 1, 2008
- 638
- 41
WENGI UKO CCM UKIWAULIZA ELIMU ZAO WATAKWAMBIA KAMA SI KUKUMBIZA MWENGE KITAIFA BASI WALICHEZA NGOMA KAMA KOMBA.thats why yesu alisema toa kwanza boriti lililopo jichoni mwako ndipo utoe kibanzi kilichopo katika jicho la mwenzako....sasa ya viongozi wa CCM yamemshinda anakurupukia ya mbowe je atayaweza?
WENGI UKO CCM UKIWAULIZA ELIMU ZAO WATAKWAMBIA KAMA SI KUKUMBIZA MWENGE KITAIFA BASI WALICHEZA NGOMA KAMA KOMBA.
kwani unafikiri chadema wanamatatizo na mbowe?
matatizo yapo kwa CCM so kuandika wenyewe hii thread wanashindwa thats why wamemtumia mtu kufanya kibarua hiki...
je tuulizie elimu ya makamba?
mada hii nimeleta mimi, na mimi sio ccm ! ukitaka kujua imewagusa wenyewe ona mods walivyoanza kucharuka na kuirusha huku !
KadaMpinzani said:__________________
MBOWE IWEJE UANZISHE CHAMA KIPYA KWA KUTUMIA FALSAFA YA MUASISI WA CCM ? AU UNADHANI WATU HAWAJUI?SASA SUBIRI.
KadaMpinzani said:mada hii nimeleta mimi, na mimi sio ccm ! ukitaka kujua imewagusa wenyewe ona mods walivyoanza kucharuka na kuirusha huku !
na kama ulivyosema kufeli sio kitu kipya hapa duniani, so mi naona hata kwa mbowe si kitu kipya. Na tukisema tuanze kuchunguzana waliopasi ndo watuongoze nadhani watabaki wachache sana, coz hata hao kina makamba wanaowabuluza watanzania kwa uongozi mbovu elimu zao ni vichekesho kama si uharo...so think twice