CHUKI,ROHO MBAYA NI ZAWAD KWA WALE WENYE HIZO TABIA

CHUKI,ROHO MBAYA NI ZAWAD KWA WALE WENYE HIZO TABIA

abdi ally

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2018
Posts
1,563
Reaction score
2,163
Siku zote zawad pekeee kwa wenye roho mbaya Ni Mungu kuonyesha baraka tele kwa wale wafanyiwao husda.

Ukiona mtu analichukia taifa lake hata katika familia,ukoo,na marafik hufanya wivu,na husda na roho mbaya pia.

Wa tz tuko imara kwa timu yetu na tunainga mkono kwa matokeo yote Ni timu yetu.

Wale waichukiayo taifa stars nyuso zao zitakuwa na furaha tu.Mungu yu nasi viva Tanzania viva tanzania
 
Siku zote zawad pekeee kwa wenye roho mbaya Ni Mungu kuonyesha baraka tele kwa wale wafanyiwao husda.

Ukiona mtu analichukia taifa lake hata katika familia,ukoo,na marafik hufanya wivu,na husda na roho mbaya pia.

Wa tz tuko imara kwa timu yetu na tunainga mkono kwa matokeo yote Ni timu yetu.

Wale waichukiayo taifa stars nyuso zao zitakuwa na furaha tu.Mungu yu nasi viva Tanzania viva tanzania
Sina uzalendo na hili li nchi la majizii matupu, yanachumia tumbo zao tu..

Kenya piga umbwa hao mpaka akili iwakae sawa

Hili li nchi ni shida tupuu
 
Back
Top Bottom