Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Habarini nyote.
Kwa uchache kabisa niseme ya kwamba awaye yeyote mwenye chuki kisa tu uduni wake kwenye maarifa, kukosa akili pevu na madhubuti, pamoja kukosa ukomavu wa fikra kwa taswira pana huwa ni kichekesho.
Ukipewa dhamana fanya utofauti katika namna chanya na iliyobora na kwa kujikita kwenye maboresho.
Tuukimbie umaskini wa akili wenye kiota kiitwacho chuki na wivu wa kishamba hasa katika uwanda wa maoni na michango huru ya fikra.
Nawasilisha.
Wadiz a.k.a Baharia
Kwa uchache kabisa niseme ya kwamba awaye yeyote mwenye chuki kisa tu uduni wake kwenye maarifa, kukosa akili pevu na madhubuti, pamoja kukosa ukomavu wa fikra kwa taswira pana huwa ni kichekesho.
Ukipewa dhamana fanya utofauti katika namna chanya na iliyobora na kwa kujikita kwenye maboresho.
Tuukimbie umaskini wa akili wenye kiota kiitwacho chuki na wivu wa kishamba hasa katika uwanda wa maoni na michango huru ya fikra.
Nawasilisha.
Wadiz a.k.a Baharia