figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Wangekua woote wanaoacha/achana wanafikiria hivi.... mmmmh! It means hakuna kuachana mkionana kosa!
Huyo XGIRLFREIND ni huyu wa JF alikufungulia thread?
Si mrudiane tu au?
Kama ulimkosea kamuombe msamaha ili uendelee kupewa maneno uloyamis kwn sio kesi na maisha lazma yaendelee.
mkuu hadi nashindwa nikujibu nini manake...we acha tu.mia
Mpwa, pole ila Wahenga walisema "There is no future in the Past"
ina mana basi bado wampenda na hujakutana na akakupagawisha kama alivofanya yy
Mkuu, Ulikuwa unapewa yote yako, halafu unaiachi kwanini!
Sa c ukambembeleze 2 mrudiane au?