Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa kwa wale wenye ndoto za kuja kuwa viongozi wa nchi hii hasa 2025, mnisikie, please chukua kadi tawi lililo karibu na wewe sasa, ukisubiri utakuwa umechelewa. Yajayo ni matamu!...
Ndoto za jua la utosiniHasa kwa wale wenye ndoto za kuja kuwa viongozi wa nchi hii hasa 2025, mnisikie, please chukua kadi tawi lililo karibu na wewe sasa, ukisubiri utakuwa umechelewa. Yajayo ni matamu!...
Mnatulipa shillingi ngapi kwa kuchukuwa kadi zenu?Hasa kwa wale wenye ndoto za kuja kuwa viongozi wa nchi hii hasa 2025, mnisikie, please chukua kadi tawi lililo karibu na wewe sasa, ukisubiri utakuwa umechelewa. Yajayo ni matamu!...
Hili ndilo la msingi wao wakikosa uraisi pesa iko mfukoniMnatulipa shillingi ngapi kwa kuchukuwa kadi zenu?
Hakuna cha butre siku hizi.
Kama mwenyekiti ni yule yule siwezi kumchukua kadi. Ni Bora nibaki na haya haya majizi ya CCMHasa kwa wale wenye ndoto za kuja kuwa viongozi wa nchi hii hasa 2025, mnisikie, please chukua kadi tawi lililo karibu na wewe sasa, ukisubiri utakuwa umechelewa. Yajayo ni matamu!...
Safi sana,mkomoe mwenyekiti.... dadeki,hadi aje akuombe msamaha,maana kwanza una maisha mazuri kumzidi mwenyekiti na makamu wake,ndugu zako hawaathiriki kwa lolote na WEZI dadeki... komaa mwwnangu.CCM mbele kwa mbele,Gekule Oyeee.Kama mwenyekiti ni yule yule siwezi kumchukua kadi. Ni Bora nibaki na haya haya majizi ya CCM
Ujinga 🗑️🗑️Hasa kwa wale wenye ndoto za kuja kuwa viongozi wa nchi hii hasa 2025, mnisikie, please chukua kadi tawi lililo karibu na wewe sasa, ukisubiri utakuwa umechelewa. Yajayo ni matamu!...