Mchaga OGπHuyu mwamba kila nikipita chocho kanidaka haaha mzee huyu wa kichaga anakumbukumbu
Umekuwa wa kwanza kutajwaπ wakati mimi ndio nilikuwa nataka nitajeπ
ππππππππππ
nimekutaja sasa shida iko wap?Umekuwa wa kwanza kutajwaπ wakati mimi ndio nilikuwa nataka nitajeπ
Namsalima mzabzabKuna viumbe vinatujua kuliko tunavyojijua hahha if u have no friend here, chukua muda kutengeneza mmoja, Nakama wewe ni Me usitengeneze urafiki na Ke kwani mda wote wanahic kuwa unataka kutongozana au mapenzi penzi
NAKAMATA MIC NATUMA SALAMU KWA
Gily soon na story nashuka nalo stay tuned
Wengine tutameet huko mbele
Chukua MiC tuma salaamu
haya mwanakwaπππππππππππ
Chamechambe
π€£π€£π€£ mwanangu wa faidaHuyu mwamba kila nikipita chocho kanidaka haaha mzee huyu wa kichaga anakumbukumbu