Chukua tahadhari na utitiri wa APPS za mikopo mtandaoni

Chukua tahadhari na utitiri wa APPS za mikopo mtandaoni

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Hivi sasa kumekuwapo na utitiri wa APPS za mikopo mitandaoni ambazo kwangu naamini ni za kitapeli na au zitaleta utapeli.

Apps hizi hazina usajili Wala address ya uhakika.

Wengine wanakuambia ingiza pesa ya usajili kiaasi kadhaa kwa mujibu wa kiwango unachotaka kukopa,Kisha ukisha tuma ndio huwapati tena.

Zipo zinazokuidhinishia mkopo wa kiasi Fulani Lakini pesa inayoingizwa ni nusu au juu kidogo ya nusu ya mkopo huo, na ukatakiwa urejeshe mkopo mzima pamoja na riba.

Mikopo mingi ni ya kurejesha chini ya siku 7.

Chukua tahadhari.
 
Hivi sasa kumekuwapo na utitiri wa APPS za mikopo mitandaoni ambazo kwangu naamini ni za kitapeli na au zitaleta utapeli.

Apps hizi hazina usajili Wala address ya uhakika.

Wengine wanakuambia ingiza pesa ya usajili kiaasi kadhaa kwa mujibu wa kiwango unachotaka kukopa,Kisha ukisha tuma ndio huwapati tena.

Zipo zinazokuidhinishia mkopo wa kiasi Fulani Lakini pesa inayoingizwa ni nusu au juu kidogo ya nusu ya mkopo huo, na ukatakiwa urejeshe mkopo mzima pamoja na riba.

Mikopo mingi ni ya kurejesha chini ya siku 7.

Chukua tahadhari.
Juzi rafiki yangu alipakua app Sasa baada ya kujiunga akaambiwa atume kwanza elfu 7 ili apate mkopo. Nikamwambia ni matapeli hao.
 
Branch hawana mbambamba..pesa ndani ya dakika 5 tu na unarejesha hadi miezi 2
 
Jamaa hawajali risk ya watu kutolipwa na app zimekua nyingi

  • One mkopo
  • Pesa x
  • Branch
  • Mkopo wako
  • 24/7 mkopo

Kila ukiwacheki hawa jamaa wanakupa hapo wanaanza na 10,000/=

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Ni fursa, Serikali inaenda kuunganisha mifumo isomane. Line ya simu-NIDA-BRELA-TRA-BANDARI-BOT-CRB.

Ni suala la muda ila itafika kipindi ukikopa usipolipa huna pa kujificha maana CRB wakishapost kuwa wewe si mlipaji basi hutakopesheka popote na anayekudai atakupata kirahisi tu maana hata line ya simu hutoweza badili na ikitokea mahakama ikipewa rungu la kuzuia miamala yako ya simu ili kulipa deni ndo hitimisho la kilio cha wakopaji wasiolipa.
 
Ni fursa, Serikali inaenda kuunganisha mifumo isomane. Line ya simu-NIDA-BRELA-TRA-BANDARI-BOT-CRB.

Ni suala la muda ila itafika kipindi ukikopa usipolipa huna pa kujificha maana CRB wakishapost kuwa wewe si mlipaji basi hutakopesheka popote na anayekudai atakupata kirahisi tu maana hata line ya simu hutoweza badili na ikitokea mahakama ikipewa rungu la kuzuia miamala yako ya simu ili kulipa deni ndo hitimisho la kilio cha wakopaji wasiolipa.
Mzee mbona una bifu na wakopaji

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Jamaa hawajali risk ya watu kutolipwa na app zimekua nyingi

  • One mkopo
  • Pesa x
  • Branch
  • Mkopo wako
  • 24/7 mkopo

Kila ukiwacheki hawa jamaa wanakupa hapo wanaanza na 10,000/=

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app

Sent from my TECNO PR651H, Ndio hii hapa eeeeh? [emoji116]wewe lazima ujue app zote za mikopo na sidhani kama huwa unawalipa hayo madeni yako
Screenshot_2023_0623_170248.jpg
 
Back
Top Bottom