Chuma chakavu

Chuma chakavu

LAPUA MAGNUM 338

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
431
Reaction score
1,223
Habarini wana jukwaa, napenda kupata muongozo kuhusu hii biashara ya vyuma chakavu je inaitaji mtaji kiasi gani kuifanya, hapa nina maana ya kwamba mimi niko mkoani, nifungue ofisi ya kununua vyuma chakavu mzigo ukijaa uchukuliwe kupelekwa dar, naomba mwenye uzoefu na hii kitu anipe muongozo naona kama inalipa na haina wafanya biashara sana, asante.
 
Ni biashara yenye hela tunataka kama wapo wenye kuijua au wote mpo maofisini.
 
Back
Top Bottom