Mimi na tamani iwe ni chuma kula kwa urefu wa kamba kina noa chuma chawa.Graphical image!
Kwa hakika ulimwengu ni moja ya sehemu ya ajabu sana! Mungu aliumba vitu kwa utashi waks. Hapa chuma kinanoa chuma kingine.
View attachment 3226300
Front hapo akanyanyua simu kidogoMpiga picha ni nan na alikaa sehem gan akapiga iyo picha
YeahWacha we
unaweza kuzimia na kamera ikamezwaMpiga picha ni nan na alikaa sehem gan akapiga iyo picha
unaweza kuzimia na kamera ikamezw
Unaona hii kitu? Unaweza kuwa nusu Km na ukapata picha nzuri kabisaMpiga picha ni nan na alikaa sehem gan akapiga iyo picha
Tushazoea uku unaweza enda choo unakutana na nyoka na ni choo cha ndani kabla ya kulala unakagua mashuka vizuri ndio unalala na unalala na taa inawaka maana wanapo pitia ujui unaziba hapa kesho unaona anapitia pale na umeme wanakatakta usiku ukiacha mlango wazi imekula kwakoPole mkuu
Wakikugeuka ndo inakuwa kufa kupona π π πUnaona hii kitu? Unaweza kuwa nusu Km na ukapata picha nzuri kabisa
View attachment 3226316View attachment 3226317
Noma sanaTushazoea uku unaweza enda choo unakutana na nyoka na ni choo cha ndani kabla ya kulala unakagua mashuka vizuri ndio unalala na unalala na taa inawaka maana wanapo pitia ujui unaziba hapa kesho unaona anapitia pale na umeme wanakatakta usiku ukiacha mlango wazi imekula kwako
Ase we acha tuNoma sana
kwa hiyo nilale niote ndio furaha yako?Mama Mwana fungua picha mapema kabla haijafutwa
Unampenda mashaka eeh?Dah! Kwenye kichwa cha mada ungeandika nyoka ili nisifungue huu uzi.
Leo nitalala kwa mashaka tu.π