Chuma mguuni mwaka wa nne

Chuma mguuni mwaka wa nne

paka chongo

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2016
Posts
248
Reaction score
193
Nilipata ajali miaka 4 iliyopita ya mguu sehemu ya goti ilipelekea ni fanyiwe upasuaji mkubwa maana na kumbuka nilipigwa nusu kaputi kwenye mida ya saa 1 asubuhi Ila kuja kuzinduka ulikuwa saa mbili usiku hapo muhimbili,point ni kweli ukikaa na ichi chuma mda mrefu Nini athari zake?
 
Back
Top Bottom