Chumba cha kupanga Kimara. Kodi isizidi Tsh 100,000/- kwa mwezi

Nrangoo

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
3,407
Reaction score
5,418
Habari wakuu. Nawatakia nyote kheri ya mwaka mpya.


Mimi ninahitaji chumba self maeneo ya Kimara , liwe eneo la karibu na barabara, kodi isizidi Tsh 100,000/- kwa mwezi. Nipo tiyari kulipia kodi kwa miezi mitatu ya mwanzo.

Mwenye nacho naomba tuwasiliane.

Asante
 
Bado kinahitajika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…