Chumba Cha kupanga Zanzibar darajani

Webb

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2016
Posts
425
Reaction score
883
Wakuu anaejua gharama za chumba Cha kawaida pale Darajani anijulishe. Na utaratibu wa kupanga ukoje kwa Zanzibar hasa kwa sisi wageni kutoka Bara.
 
Ninachojua mimi uwe umeoa, kama hujaoa kuwa makini achana na mambo ya kugusa gusa mabinti wa watu utaliwa kiboga.

Karibu Zanzibari yakhe!
 
Kama wewe ni mkristu, umejiandaa vipi kukabiliana na ubaguzi wa kidini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…