luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Kama Bichwa la Habari lisemavyo. Kipindi tajwa hapo juu kina saidia sana kuvumbua aaina ya mahusiano ambayo vijana wanapitia.
Jana nimesikiliza kisa cha dada mmoja alikutana na jamaa ambaye alikuwa mteja wake katika bandaa la chakula cha mdada wa watu, wakaanzisha mahusiano, kila wakikutana kuvunja maagizo ya Mungu wana kutania lodge. Dada akaanza kudai apajue kwa jamaa, jamaa anapiga vyenga.
Dada wa watu akatafuta kazi mkoa mwingine, jamaa likamdanganya dada wa watu arudi mjini anataaka kumuoa 😃😃 mwamba kumbe ana familia anamzuga tu
Sasa ndio akaitishiwa chumba cha amaabar ebwanaa eh jqmaa lika kamatika.
Swali langu ni je wale ambao wanataka kuyapima mahusiano yao baada ya vipimo kutoka sijui wana kuwa ktk hali gani
Ila kongole sana kwa mtangazaj kwa kubuni kipindi konki sana.
Jana nimesikiliza kisa cha dada mmoja alikutana na jamaa ambaye alikuwa mteja wake katika bandaa la chakula cha mdada wa watu, wakaanzisha mahusiano, kila wakikutana kuvunja maagizo ya Mungu wana kutania lodge. Dada akaanza kudai apajue kwa jamaa, jamaa anapiga vyenga.
Dada wa watu akatafuta kazi mkoa mwingine, jamaa likamdanganya dada wa watu arudi mjini anataaka kumuoa 😃😃 mwamba kumbe ana familia anamzuga tu
Sasa ndio akaitishiwa chumba cha amaabar ebwanaa eh jqmaa lika kamatika.
Swali langu ni je wale ambao wanataka kuyapima mahusiano yao baada ya vipimo kutoka sijui wana kuwa ktk hali gani
Ila kongole sana kwa mtangazaj kwa kubuni kipindi konki sana.