Dalali Alpha
Member
- Apr 20, 2021
- 89
- 60
Nitafutie mie Nyumba kubwa ghorofa moja hivi iwe nzuri haina tatizo kwanzia mbezi beach, hadi bahari BeachMahali: Mbezi Beach Makonde,
Kodi ya Mwezi: Tshs 120,000
Malipo ya Miezi: 3 au 6
Ipo karibu sana na kituo cha daladala, dakika moja upo kituoni.
Maji ya bomba/dawasa masaa 24, Uzio na geti, egesho la usafiri lipo Usalama wa kutosha.
Maelezo zaidi: 0716442950
View attachment 1798990View attachment 1798991View attachment 1798992
Niambie budget yako?Nitafutie mie Nyumba kubwa ghorofa moja hivi iwe nzuri haina tatizo kwanzia mbezi beach, hadi bahari Beach
Kuna mdau anaitwa dalali Mwanafunzi Ni kama naye kapost au nimechanganya?Mahali: Mbezi Beach Makonde,
Kodi ya Mwezi: Tshs 120,000
Malipo ya Miezi: 3 au 6
Ipo karibu sana na kituo cha daladala, dakika moja upo kituoni.
Maji ya bomba/dawasa masaa 24, Uzio na geti, egesho la usafiri lipo Usalama wa kutosha.
Maelezo zaidi: 0716442950
View attachment 1798990View attachment 1798991View attachment 1798992
Budget yangu inategemea na Nyumba ilivyo mkuu hata 2m per mounth natoa ila iwe Nyumba ya uhakika na yenye viwangoNiambie budget yako?
Iyo, Leta ofa yako View attachment 1799355View attachment 1799354View attachment 1799351View attachment 1799352View attachment 1799353View attachment 1799356View attachment 1799357Nitafutie mie Nyumba kubwa ghorofa moja hivi iwe nzuri haina tatizo kwanzia mbezi beach, hadi bahari Beach
Hawa majamaa huwa wanazungukana mkuu, mie nimetoa tangazo mda Fulani Cha ajabu Nyumba moja natumiwa na madalali sita na Kila mmoja na bei yake nami nawacheki tuKuna mdau anaitwa dalali Mwanafunzi Ni kama naye kapost au nimechanganya?
Usiwe na haraka weka picha vizuri moja zionekane
Duh...madalali sita!? Hiyo chain ni ndefu sanaHawa majamaa huwa wanazungukana mkuu, mie nimetoa tangazo mda Fulani Cha ajabu Nyumba moja natumiwa na madalali sita na Kila mmoja na bei yake nami nawacheki tu
Hii ina 4bedrooms ( All selfcontained )Budget yangu inategemea na Nyumba ilivyo mkuu hata 2m per mounth natoa ila iwe Nyumba ya uhakika na yenye viwango
Hahaha ndio maana wanaroganaHawa majamaa huwa wanazungukana mkuu, mie nimetoa tangazo mda Fulani Cha ajabu Nyumba moja natumiwa na madalali sita na Kila mmoja na bei yake nami nawacheki tu
Hatari sana mkuu ndio maana nami naenda taratibu na Kama nitakosa nitafikia hotelini kwanza Kama one week hivi nitakuwa nimepata Nyumba ya uhakika kuliko kuhangaika na matapel ya kibongoDuh...madalali sita!? Hiyo chain ni ndefu sana
Kabisa mkuuHahaha ndio maana wanarogana
Ok ipo maeneo gani hiiHii ina 4bedrooms ( All selfcontained )
Monthly rent Tshs 1.8View attachment 1799361View attachment 1799362View attachment 1799365View attachment 1799366View attachment 1799367View attachment 1799368View attachment 1799369View attachment 1799370
Kabisaa mkuuHahaha ndio maana wanarogana
Kutofautiana bei wakati mwingine ni ishu ya marketing tu, sio kigezo cha utapeli.Ok ipo maeneo gani hii
Iyo ipo Mbuyuni Karibu na shule ya feza ya salasalaOk ipo maeneo gani hii
Ipo wapi hiiKutofautiana bei wakati mwingine ni ishu ya marketing tu, sio kigezo cha utapeli.
Ukiona nyumba imetangazwa kwa bei tofauti lakini range yake sio kubwa, iyo ni marketing tu: mfano iyo nyumba inawezwa kutangazwa na madalali tofauti kwenye 2M --- 1.7M, Usishangae ni ishu ya marketing tu
Km ngapi kutoka njia panda mbuyuniIyo ipo Mbuyuni Karibu na shule ya feza ya salasala