[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwamba hautaki wageni au?
Wageni watalala wapi?
Wageni watajengewa ya kwao Mkuu.Wageni watalala wapi?
Kiwango cha chini 10m.Habari za leo wakuu.
Hivi wakuu Chumba kama kinachoonekana kwenye picha kinahitaji shilingi ngapi kukamilika.kiwanja kipo.
Karibuni kwa michango yenuView attachment 1850436
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Angalia vizuri. Kila chumba kina chooNyumba ni choo... Mbona hakuna choo?
12 m chini ardhini[emoji849][emoji848]12ml.
Weka vipimo tukupe makadirio halisiHabari za leo wakuu.
Hivi wakuu Chumba kama kinachoonekana kwenye picha kinahitaji shilingi ngapi kukamilika.kiwanja kipo.
Karibuni kwa michango yenuView attachment 1850436
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
17 millionsHabari za leo wakuu.
Hivi wakuu Chumba kama kinachoonekana kwenye picha kinahitaji shilingi ngapi kukamilika.kiwanja kipo.
Karibuni kwa michango yenuView attachment 1850436
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Picha ni nzuri sana, ila kitchen ingeondolewa hapo ilipo ijengwe kwenye nafasi iliyo nyuma ya dinningNimeipenda Sana nimeisave picha one day yes hata mwaka keshokutwa shega tu
Itoshe kusema, tutalala hata kwenye makochi au pembeni ya t.v pale. [emoji3]Kwamba hautaki wageni au?
Asante kwa kunitia moyo [emoji848]Hiyo nyumba ni kama 15 mpk 20M ila kama una 10M ianze tu utapiga mpk paa inabaki finishing tu. Angalau utakuwa na kitu kinaonekana
Pia ushauri kwa wajenzi wapya just anza tu usiwaze sana gharama maana nyumba kama hiyo ukiwa na say 12M unaweza kuhamia ukawa unamalizia ukiwa ndani kidogo kidogo. Wakongwe wanasema nyumba haiishi kila siku unajenga jenga tu mpk unaingia kaburini
Hivi Ni chumba au nyumba hiiPicha ni nzuri sana, ila kitchen ingeondolewa hapo ilipo ijengwe kwenye nafasi iliyo nyuma ya dinning