House4Rent Chumba kinapatikana buguruni kwa mnyamani

House4Rent Chumba kinapatikana buguruni kwa mnyamani

Dunia

Member
Joined
Nov 8, 2014
Posts
96
Reaction score
19
Habari! Kuna chumba kinapangishwa maeneo ya Buguruni kwa Mnyamani. Chumba hicho nilimpangia dada angu ambaye alikuwa anatoka mkoani kuja Dar, lakini kwa bahati mbaya akapata majukumu mengine huko mkoani ivyo hawezi kuja tena.

Chumba kimekaa miezi miwili sasa bila mtu. Nililipia kabisa miezi 4 sasa imebaki miezi miwili. Kama kuna mtu anayehitaji anaweza kunitafuta kwenye namba 0686128483. Huduma zote za msingi kama maji na umeme vinapatikana.

Kodi ni 50, 000/= kwa mwezi. Ivyo atakayehitaji awe tayari kunirudishia laki moja, japo naweza punguza hadi 80,000/= maana ishakuwa hasara tayari. Nimelipia alafu mlengwa hakufika.
 
Habari! Kuna chumba kinapangishwa maeneo ya Buguruni kwa Mnyamani. Chumba hicho nilimpangia dada angu ambaye alikuwa anatoka mkoani kuja Dar, lakini kwa bahati mbaya akapata majukumu mengine huko mkoani ivyo hawezi kuja tena. Chumba kimekaa miezi miwili sasa bila mtu. Nililipia kabisa miezi 4. Sasa imebaki miezi miwili. Kama kuna mtu anayehitaji anaweza kunitafuta kwenye namba 0686128483. Huduma zote za msingi kama maji na umeme vinapatikana. kodi ni 50, 000/= kwa mwezi. Ivyo atakayehitaji awe tayari kunirudishia laki moja, japo naweza punguza hadi 80,000/= maana ishakuwa hasara tayari. Nimelipia alafu mlengwa hakufika.
Du mtu wa kwenda kuishi kwa mnyamani nadhani jf hawapo
 
nyumba iko safi sana, ina geti, ina slingbord (singi bodi), sakafu safi. kuna wapangaji wengine watatu, kwaiyo wewe utakuwa wa nne.
 
anaehitaji APIGE SIMU. USITUME UJUMBE WALA KUBIP. NAMBA 0686128483
 
Myamani ipi kwa magina? tatizo la kwa mnyamani vibaka , ukianika nguo shida , kutembea alfajiri shida , nilipigwa roba alfajiri sina hamu.
 
nyumba iko safi sana, ina geti, ina slingbord (singi bodi), sakafu safi. kuna wapangaji wengine watatu, kwaiyo wewe utakuwa wa nne.
Marekebisho kidogo, ni "Sealing board" na siyo "slingbord"
 
How comes chumba miezi miwili hakijapata mtu, then kipo mjini [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Mkuu umepotea. Jf wote wanaishi mbezi beach, masaki,kimara,na kino na tabata.
Kupanga ni nyumba kuanzia 250k
 
nyumba iko safi sana, ina geti, ina slingbord (singi bodi), sakafu safi. kuna wapangaji wengine watatu, kwaiyo wewe utakuwa wa nne.
Hebu weka picha za hao wadada wapangaji
 
How comes chumba miezi miwili hakijapata mtu, then kipo mjini [emoji848][emoji848][emoji848]
nilikuwa bize sana na kazi. kwaiyo sikuwahi kumwambia mtu. Pia sijamwambia dalali yeyote, ndio maana kimekaa muda wote huo. Ni maamuzi ndio yamenijia jana eti nitangaze huku JF. Haina shida lakini naweza kukitumia kama Guest House nikiwa na mchepuko
 
Back
Top Bottom