Dalali Alpha
Member
- Apr 20, 2021
- 89
- 60
Inapangishwa BossInauzwa kwa mwezi au kupangishwa
Wachawi Utawajua tu,Mbona kama pagala lililochoka sana mkuum
Mbezibeach ya Mkoa wa Dar es Salaam, Wilaya ya KinondoniHii ni mbezi beach ya wapi mkuu?
Pamoja MkuuWachawi Utawajua tu,
Sijasema ya Tanzania sehemu gani mkuu, Mbezi beach kubwa kuna Tangi bovu, kwa Zena, Mbezi beach ya juu, Makonde, Karibu na afrikana, Jogoo, Rainbow na zingine nyingi. We sema Mbezi beach sehemu gani simple tu mbona.Mbezibeach ya Mkoa wa Dar es Salaam, Wilaya ya Kinondoni
Una mtazamo wa pekee, Mwenye macho aambiwi ona !!Mbona kama pagala lililochoka sana mkuum
Wewe Unataka MbeziBeach maeneo gani?Sijasema ya Tanzania sehemu gani mkuu, Mbezi beach kubwa kuna Tangi bovu, kwa Zena, Mbezi beach ya juu, Makonde, Karibu na afrikana, Jogoo, Rainbow na zingine nyingi. We sema Mbezi beach sehemu gani simple tu mbona.
Hamna mkuu, mm ni mlokoleWachawi Utawajua tu,
Wewe Unataka MbeziBeach maeneo gani?
Bora umwambie aisee.We una akiki timamu kweli? Mtu anakuuliza mbez beach ipi ili aone kama ni sehem sahihi kwake halaf unapanik! Huna akili wewe
Jibu swali Massana/Goig/Tankbov au wap? Unadhan kila mtu anaishi mkoa kwamba akisikia mbez beach basi anachanganyikiwa? Stupid
Ameazima tu hili jina mkuu, na ndio maana namuuliza Mbezi Beach sehemu gani anakwepa kusemaDah.
Mbezi Beach kulikuwa ushuani siku hizi Uswazi.
Wewe ni Dalali, nakujuaWe una akiki timamu kweli? Mtu anakuuliza mbez beach ipi ili aone kama ni sehem sahihi kwake halaf unapanik! Huna akili wewe
Jibu swali Massana/Goig/Tankbov au wap? Unadhan kila mtu anaishi mkoa kwamba akisikia mbez beach basi anachanganyikiwa? Stupid
Nayeye Kama yupo serious, aseme anataka mbezibeach sehemu gani ili nijue namsaidiaje..Bora umwambie aisee.
Hawa ndio wanafanya madalali wanaonekana wababaishaji. We umeamua kuweka Tangazo la biashara alafu unaficha baadhi ya habari shida nini kama sii unataka kuwaliza watu. Anahisi kila mtu haijui Mbezi beach. Anaficha hivi ili akwepe maswali
Toka zamani mbona, aliyekuadisia alikudanganyagaDah.
Mbezi Beach kulikuwa ushuani siku hizi Uswazi.