House4Rent Chumba Masta na Sebule_ Mbezibeach

Joined
Sep 25, 2016
Posts
76
Reaction score
20
Mahali: Mbezibeach Tangibovu
Bei: Tshs 150,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 6.
N.B: Malipo ya Mwezi mmoja kwa dalali ( 150000 )
Mawasiliano: 0686 648630

Chumba choo ndani na Sebule. Choo cha nje Kipo.
Ndani ya fensi geti, Umeme luku wawili, Maji dawasa masaa 24 Kuchangia bill, Karibu na kituo cha daladala tangibovu(dakika tatu kwa mguu).

 
Ifikie hatua tuache kutumia vyoo vya kuchuchuma
Wenye msiweke vyoo hivi vyoo vya kukaa vizuri kiusafi pia
 
Vyoo vya kukuchumaa vinatia kinyaa
 
La kama hakifanyiwi usafi wakutosha! Kinapigwa usafi mzuri kabisa kila siku,mbona ndiyo vizuri,hivyo vyakukaa mtu akishusha mzigo na akaacha kuflash,aiseeee,ukisogea tu mzigo huo
Vya kukaa ndio vizuri
 
kumbe mbezi beach hizi nyuma za kwetu nazo zipo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…