dalali Mwanafunzi
Member
- Sep 25, 2016
- 76
- 20
Labda ndio mana akaamua kujiita dalali mwanafunzihii ulisema IPO salasala, lakini cha ajabu choo chake mdio hichohicho cha mbezi tangi bovu
Kitakua chakuamishahii ulisema IPO salasala, lakini cha ajabu choo chake mdio hichohicho cha mbezi tangi bovu
hahahahahahahahahahaKitakua chakuamisha
ahahaaa watu nyieKitakua chakuamisha
Unadhani BAN ni matusi tu, hata ukitabasamu sana au kwa mwanamke kuwa na shepu iliyopitiliza unapata BANKumbe Miss Natafuta na yeye ana mitusi.
Kapigwa BAN.
Hahahaha mkuu hebu njoo tukupime mkojo mana sio kwa kuchekesha hiviKitakua chakuamisha