Leo tarehe 22/7/2017 nina shida hii hapa chini:
Natafuta chumba kikubwa kiwe self.
Au chumba na sebule self.
Au chumba na sebule visiwe self lakini wapangaji wasiwe wengi.
Maeneo hayo ya mwenge, lufungira, mpakani, survey, mawasiliano.
Kifupi ni maeneo jirani na UDSM maana ndiko kituo changu cha kazi.
Bajeti yangu 100 mpaka 130 kutegemea na Quality na location ya nyumba.
Nisaidieni wakuu wangu wazuri wazuri.
Nicheki Whatsapp 0788 688 392
Natafuta chumba kikubwa kiwe self.
Au chumba na sebule self.
Au chumba na sebule visiwe self lakini wapangaji wasiwe wengi.
Maeneo hayo ya mwenge, lufungira, mpakani, survey, mawasiliano.
Kifupi ni maeneo jirani na UDSM maana ndiko kituo changu cha kazi.
Bajeti yangu 100 mpaka 130 kutegemea na Quality na location ya nyumba.
Nisaidieni wakuu wangu wazuri wazuri.
Nicheki Whatsapp 0788 688 392