Mkuu huyo itakuwa lazima kazamia 'sem sem' hizo katika siku za 'machafuko' au kabla ukuta hauja kauka 'rangi' vizuri yeye kaegemea...inatokea sana...mbona Mkuu.
Ni kweli ungalifu ni muhimu
Junius sidhani kama upo sahihi, sidhani kama mafuriko ya bonde la mto rufiji au kutokauka kwa kingo zake kutoka na mvua zinazoelekea kukauka kunaweza kuleta athari kubwa namna hiyo. Hii kitu inawezekana ni Syphilis kwani katika STI ni ugonjwa ambao huweza kudakwa kwenye Ngozi, Midomo na hata macho. Kwa hiyo ningemshauri huyu Bw. Muathirika kumwambia Dakatari wake kuwa anahisi amedaka kaugonjwa ka wakati akina mzee pwagu na pwaguzi wanakuwa.
Junius sidhani kama upo sahihi, sidhani kama mafuriko ya bonde la mto rufiji au kutokauka kwa kingo zake kutoka na mvua zinazoelekea kukauka kunaweza kuleta athari kubwa namna hiyo. Hii kitu inawezekana ni Syphilis kwani katika STI ni ugonjwa ambao huweza kudakwa kwenye Ngozi, Midomo na hata macho. Kwa hiyo ningemshauri huyu Bw. Muathirika kumwambia Dakatari wake kuwa anahisi amedaka kaugonjwa ka wakati akina mzee pwagu na pwaguzi wanakuwa.
Kazidi naye kulamba lamba............pole yake.