Chumvi ya Neel (Neel salt) ni biashara ya nani?

mtaani kwetu kila duka unaloingia zipo chumvi za neel tu, wazalishaji wengine wa chumvi wajipange wanaweza kupotezwa sokoni.
 
Nguvu zile za matangazo zilipaswa kuwekezwa kwenye brand mpya ya bia inapoingia sokoni... sio chumvi ya 500 inatumika wiki mbili na familia ya watu 8
hata chumvi tunapoiita "inelastic" ni hiyo basi tu lakini unapoongeza ulaji wa nyamachoma wakati wa sherehe za x-mass, Eid, harusi na matamasha mbalimbali na ulaji wa chumvi pia unaongezeka linearly (proportionally). Hivyo kama nyamachoma ni elastic na chumvi pia, maana nyamachoma bila chumvi haiwezekani. Unywaji wa bia, ulaji wa nyama na ulaji wa chumvi vinaenda sambamba.
 
Hata wakati wa sikukuu chumvi inalika sana. wakati wa sikuu watu wanakunywa bia sana na nyamachoma. Unapoagiza nyamachoma au supu mhudumu LAZIMA atakuletea pamoja na chumvi, pilipili na limau haka kama hujamuagiza chumvi. Hivyo chumvi nayo itaongezeka matumizi sambamba na bia na nyama. Ndiyo maana nasema tuachane na mambo ya vitabuni tulikojifunza tuje kwenye uhalisia.
 
We jamaa hujui kitu ila unaandiiika !
Unajichoresha. Unajua a b c d za marketing kweli wewe !?
Maana unaona kitu kinaitwa inelastic lakini unaona kikitangazwa saaana kitakuwa elastic, ajabu !
 
Haaa...haaa....haaa !
Assumption za kitooto !
Unadharau andko ?
Kwenye maandiko ya kina Kotler (Marketing) na Tom Hopkin (Mastering Art of Selling) kuna vitu vinaitwa 'case study' unaijua product yeyote ya inelastic iliyobadilika kuwa elastic !?
 
ametumia hiyo budget kushawishi import ban then angejikitita zaidi kwenye distribution zaidi na pia ads kiasi
 
uko vizuri sana...nimekulewa aiseee"""
 
Nguvu zile za matangazo zilipaswa kuwekezwa kwenye brand mpya ya bia inapoingia sokoni... sio chumvi ya 500 inatumika wiki mbili na familia ya watu 8
hakuna mtu asiye tumia chumvi..labda awe àmekatazwa na daktari "" lakini kunawatu wasio kunywa bia"" Jamaa target yake ni nzuri tu "" soon ataanza kupiga pesa ile mbaya"" mnapnda kukosoa vitu wkati wngine hata biashara za mtaji wa ml.10 Hanna..wabongo sijui mkoje ""!?
 
.....on marketing professional perspective ! Nothing personal.
 
Sikujua kama chumvi inatangazwa aisee... Kama mtu uitangaze sukari tu.
 
Jamani chumvi ni biashara kubwa? Au umeingia hofu na jinsi anavyoitangaza!!
 
We jamaa hujui kitu ila unaandiiika !
Unajichoresha. Unajua a b c d za marketing kweli wewe !?
Maana unaona kitu kinaitwa inelastic lakini unaona kikitangazwa saaana kitakuwa elastic, ajabu !
Umekariri
 
Haaa...haaa....haaa !
Assumption za kitooto !
Unadharau andko ?
Kwenye maandiko ya kina Kotler (Marketing) na Tom Hopkin (Mastering Art of Selling) kuna vitu vinaitwa 'case study' unaijua product yeyote ya inelastic iliyobadilika kuwa elastic !?
Ndio maana watu wenye akili pana kama sisi tuna uwezo wa ku analyze and ku critique theories, principles, na assumptions zilizoonekana kuwa sahihi huko nyuma. Mtu kama wewe sio rahisi kufikiria nje ya box. Concept inaweza kuwa sahihi leo na kuwa wrong kesho.

Akili yako haioni kuwa ulaji (demand) wa chumvi, ndimu na pilipili unaongezeka pia sambamba na ulaji wa supu, nyamachoma, chipsi na kitimoto?. Hujiulizi kwanini watu siku hizi wanasumbuliwa na na magonjwa ya moyo na kisukari kuliko zamani kwenye jamii zetu.
 
Baada ya tabia ya watu ya kula jark foods, nyamachoma, hotdog, nk kuongezeka chumvi nayo imeanza kubadilika polepole kutoka inelastic to elastic commodity. Hali hii inaiweka jamii njia panda hasa kutokana na magonjwa yanayoambatana na ulaji wa chumvi nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…