M Mpigaji JF-Expert Member Joined Feb 6, 2011 Posts 384 Reaction score 42 Feb 16, 2012 #1 Wadau hii imekaaje?Idadi kubwa ya Private candidates kwa wanaorudia mitihani kidato cha 4 au 6 huwa ni wasichana!KWA NINI?
Wadau hii imekaaje?Idadi kubwa ya Private candidates kwa wanaorudia mitihani kidato cha 4 au 6 huwa ni wasichana!KWA NINI?
Shine JF-Expert Member Joined Feb 5, 2011 Posts 11,481 Reaction score 1,368 Feb 16, 2012 #2 We ni mwongo na unataka kumaanisha wao ndo wanafeli tu, jambo ambalo siyo sahihi
Ndachuwa JF-Expert Member Joined Mar 8, 2006 Posts 6,269 Reaction score 4,579 Feb 16, 2012 #3 Wanapenda elimu. Wavulani si wanakimbilia hata kuosha magari?
Perry JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 10,058 Reaction score 2,195 Feb 16, 2012 #4 Umejuaje,au na we ni mmoja wa wanao rudia hyo mitihan?
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Feb 16, 2012 #5 Mpigaji said: Wadau hii imekaaje?Idadi kubwa ya Private candidates kwa wanaorudia mitihani kidato cha 4 au 6 huwa ni wasichana!KWA NINI? Click to expand... wanaogopa kuolewa mapema ndio sababu..
Mpigaji said: Wadau hii imekaaje?Idadi kubwa ya Private candidates kwa wanaorudia mitihani kidato cha 4 au 6 huwa ni wasichana!KWA NINI? Click to expand... wanaogopa kuolewa mapema ndio sababu..