Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Sex kwa sana ndio dawa... mnatunza sana mabarungi..

Juice ya viazi ulaya ukichanganya na vinegar ya apple na baking powder kwa kuondosha madoa pia vipele au vichunusi msivipasue ili msipate makovu meusi ya kudumu muda mrefu. Unajipaka sehemu zilizo athirika tu usiku ukishaoga kabla ya kulala asubuhi oga zako vizuri usijipake mafuta . Make sure unapunguza vinywaji vitamu kama soda na juice zenye sukari. Uwe unakunywa maji kama lita tatu kwa siku na uwe unafanya mazoezi hadi jasho likutoke kiasi misosi ya ngano punguza kama huwa hufanyi sex kuna sabuni ya kuogea inaitwa jina kama testmone cover ya yellow maduka ya dawa ndio zinapatikana ni nzuri sana.
 
Tumia NIVEA Cream ipo poa sana utaipenda au tumia mafuta ya nazi safi weka drop 3 halafu paka usoni.
 
Tumia ingrams lotion mkuu utapata matokeo mazur tu.. Mm nmetumia na zimeisha zote au nenda duka la dawa za asil watakuwa na majibu juu ya tatizo lako
Samahani ndugu, hivi ingrams zpo za aina nyingi au ni moja tu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…